*USITOKE BABY NJOO HUKU*


πŸƒπŸ▫️Ni mwendo wa kung'ang'aniwa na sio kung'ang'ania upo.


πŸƒπŸ▫️Libwata la nini wakati unaweza kujituma.


πŸƒπŸ▫️Hivi mwali wangu unajua kulia kimahaba au kumlilia mume asitoke,hata kama huwez kulia igiza basi.


πŸƒπŸ▫️Yaan hapo mwanaume anajiona kama yeye ndio raisi,kujishebedua na kujidekeza muhimu bhanaa.Ukauzu ziachie dagaa.


*NAMNA YA KULIA KIMAHABA ILI KUMBAKISHA MUME NYUMBAN*


πŸƒ⚪▫️1. Muite jina lake kwa madeko.

Hakuna kitu kitamu kama kumuita mtu jina lake au kuitwa jina lako na mjuzi wa kuliita..


πŸƒπŸ▫️Unaweza ukasema Iddy Wangu au Mansoor wangu au Ali wangu au Kwa wale waingereza ukasema My hubby D ukimaanisha mtu anaeanzia na herufi D kwenye jina lake,au my Honey B .

Sio umekazana wewe baba naniii aiiii usungo huo.


πŸƒπŸ▫️2. Mshike mkono au mikono yake akiwa anataka kutoka kwa kilio cha pozi.


πŸƒπŸ▫️Ukiona imeshindikana kumkalisha nyumban,wakati anataka kutoka mshike mikono yake kisha mtazame usoni kwa macho ya madeKO na kijiaibu cha kuact,


πŸƒπŸ▫️ Mwambie"My darling au Moha wangu unaniumiza unapotaka kuniacha,naomba kwa leo tu ubaki na Mimi"

Mengine utabuni Mwari


πŸƒπŸ▫️3. Mvute na umkumbatie au umbusu anapotoka.

Na kile kilio cha uongo na kweli kisikosekane Mwali.


πŸƒπŸ▫️Asipoghairi kwenda anapotaka basi jua anapoenda kuna umuhimu sana.



Comments