YAJUE MAMBO YANAYOVUNJA NDOA
Yafuatayo ni maisha yanayofanya ndoa nyingi kutodumu hata hazifiki miaka 25
1_Tamaa ya Kimwili
Ndoa nyingi wanaoana ili kujiridhisha kimwili yani mtu anaoa ili apate hitaji la ngono kwa wakati
2_Uaminifu kukosekana kwenye ndoa
Ndoa nyingi hazidumu kutokana na wanandoa kukosa uaminifu yani kila mmoja ni muongo kwa mwenzie yani hakuna anayemwambia ukweli mwenzie ni mwendo wa kuongopeana tuu
3_Kutopata mtoto kwa wakati kwenye ndoa
Ndoa nyingi hazidumu nayo sababu inayofanya kutodumu ni kutopata mtoto kwa wakati yani wanategeana kupata mtoto wawili hao wanakosa uaminifu yan hakuna anayemuamini mwenzie
4_kutomuabudu Mungu
Dini au imani inafanya wanandoa wengi hawana muda wa kumuabudu mungu,ndoa nyingi zinaendekeza kujivinjali kuliko kumuabudu mungu sasa hilo suala linapelekea kuvunjika kwa ndoa kwa kukosa imani kati yao hao wanandoa
NINI CHA KUFANYA?
1_IWEPO IMANI THABITI
2_UWEPO UPENDO WA DHATI
3_KUWEPO NA MUDA MWINGI WA KUMUABUDU MUNGU
Yakifanyika hayo ndoa zitadumu sana

Comments
Post a Comment