⚠️😳🥰 Mwanamke huyo mwenye miaka 71aliyevaa sash inayosomeka "paso" amejitosa katika kinyang'anyiro cha kushiriki shindano la umisi Texas 2024 nchini Marekani
Ingawa Marissa Teijo hajafanikiwa kuibuka kidedea katika shindano hilo lililomalizika lakini anasema ana furaha kwa kitimiza ndoto yake ya kushiriki umisi baada ya kutifuana na warembo wenzie takribani 100 ambao walikuwa wabichi kiumri
Marissa ambaye pia ni mwanamitindo , ameweza kishiriki baada ya waandaaji wa Miss Universe kuondoa kikomo cha umri katika mashindano hayo maarufu duniani
Mshindi wa Miss Texas anaenda kushiriki Miss Marekani 2024 mwezi August
Picha zaidi za mdada huyo kwenye comments section

Comments
Post a Comment